sw_tn/ecc/10/01.md

539 B

Kama nzi walio kufa ... hivyo hivyo upumbavu kidogo

Kama vile ambavyo nzi wanaweza kuharibu manukato, vivyo hivyo upumbavu unaweza kuharibu sifa ya mtu kwa hekima na heshima.

Moyo wa mtu mwenye hekima ... moyo wa mpumbavu

Hapa neno "moyo" inamaanisha akili na nia. "Jinsi mtu mwenye hekima anavyowaza ... jinsi mpumbavu anavyowaza"

huelekea kulia ... huelekea kushoto

Hapa maneno "kulia" na "kushoto" yanamaanisha yalio sawa na yasiyo sawa. "hufanya yaliyo sawa .. hufanya yasiyo sawa"

fikira zake zina upungufu

"ni mjinga"