forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
539 B
Markdown
16 lines
539 B
Markdown
|
# Kama nzi walio kufa ... hivyo hivyo upumbavu kidogo
|
||
|
|
||
|
Kama vile ambavyo nzi wanaweza kuharibu manukato, vivyo hivyo upumbavu unaweza kuharibu sifa ya mtu kwa hekima na heshima.
|
||
|
|
||
|
# Moyo wa mtu mwenye hekima ... moyo wa mpumbavu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "moyo" inamaanisha akili na nia. "Jinsi mtu mwenye hekima anavyowaza ... jinsi mpumbavu anavyowaza"
|
||
|
|
||
|
# huelekea kulia ... huelekea kushoto
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "kulia" na "kushoto" yanamaanisha yalio sawa na yasiyo sawa. "hufanya yaliyo sawa .. hufanya yasiyo sawa"
|
||
|
|
||
|
# fikira zake zina upungufu
|
||
|
|
||
|
"ni mjinga"
|