sw_tn/ecc/09/16.md

300 B

hekima ya mtu masikini hudharauliwa

Kwa sababu mtu huyu alikuwa masikini, watu hawakuutambua hekima yake, wala kumheshimu kwa hekima yake. "watu husharau hekima ya mtu masikini"

maneno yake hayasikilizwi

Watu waliacha kumsikiliza. "hawasikiliza kile anachokisema" au "hawachukui ushauri wake"