sw_tn/ecc/09/03.md

341 B

kila kitu kinachofanyika

"kila kitu amabacho watu hufanya"

mwisho mmoja

hapa neno "mwisho" linamaanisha kifo.

Mioyo ya wanadamu imejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao

Hapa neno "mioyo" linamaanisha mawazo na hisia. "Wanadamu wamejaa uovu, na fikra zao ni wazimu"

wanaenda kwa wafu

"wanaenda sehemu ya wafu" au "wanakufa"