sw_tn/ecc/09/01.md

307 B

nilifikiri haya yote katika akili yangu

"Niliwaza kwa kina sana kuhusu haya yote"

Wote wako katika mikono ya Mungu

Hapa neno "wote" inamaanisha "wenye haki na watu wenye hekima" pamoja na "matendo yao"

mikono ya Mungu

Hapa neno "mikono" linamaanisha nguvu na mamlaka. "chini ya umiliki wa Mungu"