sw_tn/ecc/08/10.md

575 B

wabaya wakizikwa hadharani

Watu waovu waliokufa walipewa mazishi ya heshima. Inaashiria kuwa miili yao ilipaswa kutupwa katika rundo lililokataliwa la mji au kitu kama hicho. "watu wanawazika waovu hadharani"

Waliondolewa mahali patakatifu na kuzikwa mahali waliposifiwa na watu

"Watu waliwatowa kutoka eneo takatifu na kuwazika na kuwasifu"

Wakati hukumu dhidi ya tendo ovu halihukumiwi haraka

"Wakati watu katika madaraka hawatoi upesi hukumu dhidi ya tendo la uovu"

hushawishi mioyo ya wanadamu

Hapa neno "moyo" linamaanisha mapenzi. "humshawishi binadamu"