forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
575 B
Markdown
16 lines
575 B
Markdown
|
# wabaya wakizikwa hadharani
|
||
|
|
||
|
Watu waovu waliokufa walipewa mazishi ya heshima. Inaashiria kuwa miili yao ilipaswa kutupwa katika rundo lililokataliwa la mji au kitu kama hicho. "watu wanawazika waovu hadharani"
|
||
|
|
||
|
# Waliondolewa mahali patakatifu na kuzikwa mahali waliposifiwa na watu
|
||
|
|
||
|
"Watu waliwatowa kutoka eneo takatifu na kuwazika na kuwasifu"
|
||
|
|
||
|
# Wakati hukumu dhidi ya tendo ovu halihukumiwi haraka
|
||
|
|
||
|
"Wakati watu katika madaraka hawatoi upesi hukumu dhidi ya tendo la uovu"
|
||
|
|
||
|
# hushawishi mioyo ya wanadamu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "moyo" linamaanisha mapenzi. "humshawishi binadamu"
|