sw_tn/ecc/08/02.md

442 B

kiapo cha Mungu cha kumlinda yeye

"kiapo ulichoapa mbele za Mungu kumlinda"

Usiharakishe kuondoka mbele ya uwepo wake

Maana zinazowezekana ni 1) usiwe mwepesi kuondoka kimwili katika uwepo wake au 2) kubaki mwaminifu kwa Mfalme, usimuache kwa haraka kwa ajili ya mwingine.

Neno la mfalme hutawala

"Asemacho mfalme ni sheria"

ni nani atakaye mwambia

"hakuna awazaye kumwambia"

Unafanya nini?

"Haupaswi kufanya unachofanya."