sw_tn/ecc/07/17.md

329 B

Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?

"Hakuna sababu ya wewe kufa kabla ya unavyotakiwa"

ushike hekima hii

"jikabidi kwa hekima"

usiache haki iende zake

"usiache kujaribu kuwa mwenye haki" au "unapaswa kuendelea kujaribu kuwa mwenye haki"

atatimiza ahadi zake zote

"atafanya kila kitu ambacho Mungu anatarajia kwake"