forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
453 B
Markdown
12 lines
453 B
Markdown
# Kuchukua kwa nguvu (jeuri)
|
|
|
|
Hii ina maanisha kumlazimisha mtu kumpa pesa au vitu vingine vya dhamani mtu mwingine ili asimdhuru. Hii inadhaniwa kuwa kosa.
|
|
|
|
# humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "humgeuza mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu" au 2) "hufanya ushauri wa mwenye hekima kuonekana kama ushauri wa kipumbavu."
|
|
|
|
# huharibu moyo
|
|
|
|
Hapa neno "moyo" inamaanisha akili. "huharibu uwezo wa mtu kuwaza na kuamua vizuri"
|