sw_tn/ecc/07/07.md

453 B

Kuchukua kwa nguvu (jeuri)

Hii ina maanisha kumlazimisha mtu kumpa pesa au vitu vingine vya dhamani mtu mwingine ili asimdhuru. Hii inadhaniwa kuwa kosa.

humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu

Maana zinazowezekana ni 1) "humgeuza mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu" au 2) "hufanya ushauri wa mwenye hekima kuonekana kama ushauri wa kipumbavu."

huharibu moyo

Hapa neno "moyo" inamaanisha akili. "huharibu uwezo wa mtu kuwaza na kuamua vizuri"