forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
559 B
Markdown
20 lines
559 B
Markdown
# uso wa huzuni
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa na huzuni. "tukio linalomfanya mtu kuwa na huzuni"
|
|
|
|
# furaha ya moyo
|
|
|
|
Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia ya mtu. Furaha inafafanua hali ya hisia ya kuwa mwenye furaha na amani . "kufikiri sawa"
|
|
|
|
# Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo
|
|
|
|
"Watu wenye hekima huwaza kwa makini kuhusu kifo"
|
|
|
|
# lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu
|
|
|
|
"lakini mpumbavu anawazu tu jinsi ya kufurahi"
|
|
|
|
# nyumba ya maombolezo ... nyumba ya karamu
|
|
|
|
Misemo hii inamaanisha nini kinatokea katika sehemu hizi.
|