sw_tn/ecc/07/03.md

559 B

uso wa huzuni

Hii inamaanisha kuwa na huzuni. "tukio linalomfanya mtu kuwa na huzuni"

furaha ya moyo

Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia ya mtu. Furaha inafafanua hali ya hisia ya kuwa mwenye furaha na amani . "kufikiri sawa"

Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo

"Watu wenye hekima huwaza kwa makini kuhusu kifo"

lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu

"lakini mpumbavu anawazu tu jinsi ya kufurahi"

nyumba ya maombolezo ... nyumba ya karamu

Misemo hii inamaanisha nini kinatokea katika sehemu hizi.