sw_tn/ecc/06/07.md

441 B

kujaza mdomo wake

"kuweka chakula mdomoni mwake" au "kula"

hamu yake haishibi

"haridhishi hamu yake"

ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu?

Hekima ya mtu mwenye hekima haimfanyi kuwa na starahe za ziada. "mtu mwenye hekima hada nafuu juu ya mpumbavu."

Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?

"Mtu masikini hana nafuu hata kama anajua kutenda mbele ya watu wengine."