forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
441 B
Markdown
16 lines
441 B
Markdown
|
# kujaza mdomo wake
|
||
|
|
||
|
"kuweka chakula mdomoni mwake" au "kula"
|
||
|
|
||
|
# hamu yake haishibi
|
||
|
|
||
|
"haridhishi hamu yake"
|
||
|
|
||
|
# ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu?
|
||
|
|
||
|
Hekima ya mtu mwenye hekima haimfanyi kuwa na starahe za ziada. "mtu mwenye hekima hada nafuu juu ya mpumbavu."
|
||
|
|
||
|
# Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?
|
||
|
|
||
|
"Mtu masikini hana nafuu hata kama anajua kutenda mbele ya watu wengine."
|