sw_tn/ecc/06/05.md

479 B

ana pumziko ingawa mtu huyo hakupumzika

Mtoto ambaye hakuzaliwa hapitia taabu, anabaki katika mapumziko. wakati mtu aliyeishi miaka mingi bila kuridhika anakosa pumziko.

Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili

Hii ni kukuza neno kuonesha kuwa haijalishi ni muda gani mtu ataishi kama hatafurahia vitu vizuri maishani.

miaka elfu mbili

"miaka 2000"

lakini hajifunzi kufurahia vitu vizuri

Hili ndilo lengo, kuwa mtu anapaswa kufaidi vitu vizuri kutoka katika maisha.