forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
630 B
Markdown
28 lines
630 B
Markdown
# akizaa watoto mia moja
|
|
|
|
"akizaa watoto 100"
|
|
|
|
# kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo.
|
|
|
|
# moyo wake hautosheki kwa mema
|
|
|
|
"haridhika na vitu vizuri"
|
|
|
|
# hazikwi kwa heshima
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1)"hakuna atakayemzika" au 2) "hakuna atakayemzika vizuri"
|
|
|
|
# Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida
|
|
|
|
"mtoto wa hivyo amezaliwa bure"
|
|
|
|
# anapita katika giza
|
|
|
|
Hapa neno "giza" linaweza kumaanisha kati ya dunia ya wafu au kitu ambacho ni kigumu kuelewa. "anakufa bila kuelewa"
|
|
|
|
# jina lake linabaki limefichika
|
|
|
|
"hakuna ajuaye jina lake"
|