sw_tn/ecc/06/03.md

630 B

akizaa watoto mia moja

"akizaa watoto 100"

kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo.

moyo wake hautosheki kwa mema

"haridhika na vitu vizuri"

hazikwi kwa heshima

Maana zinazowezekana ni 1)"hakuna atakayemzika" au 2) "hakuna atakayemzika vizuri"

Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida

"mtoto wa hivyo amezaliwa bure"

anapita katika giza

Hapa neno "giza" linaweza kumaanisha kati ya dunia ya wafu au kitu ambacho ni kigumu kuelewa. "anakufa bila kuelewa"

jina lake linabaki limefichika

"hakuna ajuaye jina lake"