sw_tn/ecc/06/01.md

383 B

ni mbaya kwa watu

"inasababisha ugumu kwa watu"

mali na utajiri

Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa.

hakosi chochote

"ana kila kitu"

Mungu ... hampi uwezo wa kukifurahia

Kukusanya utajiri na mali na kushindwa kuufaidi ni bure.

Huu ni mvuke, teso baya

Mtu kutoweza kufaidi mali yake ni teso baya au laana.