forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
383 B
Markdown
20 lines
383 B
Markdown
|
# ni mbaya kwa watu
|
||
|
|
||
|
"inasababisha ugumu kwa watu"
|
||
|
|
||
|
# mali na utajiri
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa.
|
||
|
|
||
|
# hakosi chochote
|
||
|
|
||
|
"ana kila kitu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu ... hampi uwezo wa kukifurahia
|
||
|
|
||
|
Kukusanya utajiri na mali na kushindwa kuufaidi ni bure.
|
||
|
|
||
|
# Huu ni mvuke, teso baya
|
||
|
|
||
|
Mtu kutoweza kufaidi mali yake ni teso baya au laana.
|