forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
391 B
Markdown
20 lines
391 B
Markdown
# mali na utajiri
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa.
|
|
|
|
# kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake
|
|
|
|
Hii inaonesha uwezo wa kuridhika na mtu kufurahia kazi yake.
|
|
|
|
# hakumbuki
|
|
|
|
Ambaye hakumbuki ni mtu ambaye Mungu amempa zawadi.
|
|
|
|
# siku za maisha yake
|
|
|
|
"vitu vilivyotokea wakati wa maisha yake.
|
|
|
|
# kuhangaika
|
|
|
|
"kushughulika"
|