sw_tn/ecc/05/19.md

391 B

mali na utajiri

Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa.

kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake

Hii inaonesha uwezo wa kuridhika na mtu kufurahia kazi yake.

hakumbuki

Ambaye hakumbuki ni mtu ambaye Mungu amempa zawadi.

siku za maisha yake

"vitu vilivyotokea wakati wa maisha yake.

kuhangaika

"kushughulika"