forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
357 B
Markdown
12 lines
357 B
Markdown
# Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu
|
|
|
|
mtu ambaye anafanya kazi nzuri au ya ukweli anaweza kuridhika akijua alifanya kazi nzuri bila kujali malipo.
|
|
|
|
# kama anakula kidogo au sana
|
|
|
|
"kama anakula chakula kidogo au chakula kingi"
|
|
|
|
# haumuruhusu yeye kulala vizuri
|
|
|
|
mtu tajiri haridhiki na utajiri wake. Anabaki macho usiku akiwaza pesa zake. "humweka macho usiku"
|