sw_tn/ecc/04/07.md

279 B

hana mwana, wala ndugu

Mtu huyu hana familia.

macho yake hayatosheki

"haridhiki"

Ninajisumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani?

"Kuna mtu atakaye faidi kutokana na mimi kufanya kazi kwa bidii na kutofurahi?" au "Kazi yangu hamfaidishi yeyote na sina furaha"