sw_tn/ecc/03/16.md

334 B

nimeona ... ubaya upo ... ina ubaya

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza jinsi gani tabia ya uovu ni kawaida.

ubaya upo

"kawaida watu wanapata ubaya"

Nikasema moyoni mwangu

"Nikajiambia"

kila jambo na kila tendo

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na zinaashiria kila tendo wafanyao binadamu.