sw_tn/ecc/02/19.md

12 lines
257 B
Markdown

# Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?
"Kwa kuwa hakuna ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu."
# atakuwa
Hapa inamaanisha mtu yule atakaye rithi utajiri wa Sulemani.
# moyo wangu ukaanza kukata tamaa
"Nikaanza kusononeka"