sw_tn/ecc/02/19.md

257 B

Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?

"Kwa kuwa hakuna ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu."

atakuwa

Hapa inamaanisha mtu yule atakaye rithi utajiri wa Sulemani.

moyo wangu ukaanza kukata tamaa

"Nikaanza kusononeka"