sw_tn/ecc/02/13.md

426 B

hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza

hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza.

Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda

"Mtu mwenye hekima ni kama mtu anayetumia macho yake kuona anapoenda"

hutumia macho yake katika kichwa chake

"anaona"

mpumbavu hutembea katika giza

"mpumbavu ni kama mtu anayetembea katika giza"