sw_tn/ecc/02/07.md

409 B

nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu

"watumwa wangu walizaa watoto nao pia walikuwa watumwa wangu"

hazina ya wafalme na majimbo

Hii inamaanisha dhahabu na utajiri mwingine ambao nchi jirani ulilazimishwa kulipa kwa mfalme wa Israeli.

kufurahia kutoka kwa wana wa wanadamu, masulia na wanawake

"Niliwafurahia sana wake wangu wengi na masulia kama mwaname yeyote ambavyo angewafurahia"