sw_tn/ecc/02/04.md

423 B

Nilijenga nyumba kwa ajili yangu na kupanda miti ya mizabibu

Huenda mwandishi aliwaambia watu kuifanya hiyo kazi. "Niliwafanya watu wanijengee nyumba na kunipandia miti ya mizabibu"

bustani na viwanja

Maneno haya mawili yana maana zikukaribiana na zinamaanisha mashamba mazuri ya miti ya matunda.

kumwagilia msitu

"kutoa maji kwa ajili ya msitu"

msitu mahali miti ilikuwa imepandwa

"msitu ambapo miti huota"