sw_tn/ecc/02/01.md

350 B

Nikasema moyoni

"Nikajiambia"

nitakujaribu kwa furaha

Hapo atakayejaribiwa inamaanisha ni yeye mwenyewe. "Nitajijaribu mwenyewe na vitu vinavyonipa furaha"

Kwa hiyo furahia

"Kwa hiyo nitafurahia vitu vinavyo nipendeza"

Nikasema juu ya kicheko, "Ni wazimu,"

"Nikasema kuwa ni wazimu kucheka wakati mwingine"

Yafaa nini?

"ni batili"