forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
680 B
Markdown
28 lines
680 B
Markdown
# Nilitia akili yangu
|
|
|
|
"Nikusudia" au "Niliamua"
|
|
|
|
# kusoma na kutafuta
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza alisoma kwa bidii.
|
|
|
|
# wana wa watu
|
|
|
|
"binadamu"
|
|
|
|
# matendo yote ambayo yanafanyika
|
|
|
|
"kila kitu ambacho watu hufanya"
|
|
|
|
# mvuke
|
|
|
|
"umande" au "pumzi." Haidumu. "cha muda" au "haina maana." Kile ambacho watu wanafanya ni kama umande kwa sababu hakidumu na hakina maana.
|
|
|
|
# kujaribu kuuchunga upepo
|
|
|
|
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.
|
|
|
|
# Palipopinda hapawezi kunyoshwa! Kisicho kuwepo hakiwezi kuhesabiwa!
|
|
|
|
"watu hawawezi kunyosha vitu vilivyopinda! Hawawezi kuhesabu kisichokuwepo!"
|