sw_tn/ecc/01/07.md

507 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendela na mpangilio halisi wa mtazamo.

Kila kitu huwa uchovu

Kwa kuwa binadamu hawezi kueleza vitu hivi, inakuwa haina maana kujaribu. "kila kitu kinachosha"

Jicho halishibi na kile linachokiona

Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachokiona. "Mtu haridhiki na kile ambacho macho yake yanaona"

wala sikio halishibi na kile linachosikia

Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachosikia. "wala mtu haridhiki na kile ambacho masikio yake yanasikia""