forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
507 B
Markdown
16 lines
507 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaendela na mpangilio halisi wa mtazamo.
|
||
|
|
||
|
# Kila kitu huwa uchovu
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa binadamu hawezi kueleza vitu hivi, inakuwa haina maana kujaribu. "kila kitu kinachosha"
|
||
|
|
||
|
# Jicho halishibi na kile linachokiona
|
||
|
|
||
|
Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachokiona. "Mtu haridhiki na kile ambacho macho yake yanaona"
|
||
|
|
||
|
# wala sikio halishibi na kile linachosikia
|
||
|
|
||
|
Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachosikia. "wala mtu haridhiki na kile ambacho masikio yake yanasikia""
|