forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
582 B
Markdown
24 lines
582 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi.
|
|
|
|
# Kuhusu Yusufu
|
|
|
|
Hii ina maana ya kabila la Efraimu na kabila la Manase. Kabila zote mbili zilitokana kwa Yusufu.
|
|
|
|
# Nchi yake na ibarikiwe na Yahwe
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe abariki nchi yao"
|
|
|
|
# na vitu vya thamani vya mbinguni, na umande
|
|
|
|
"kwa umande wa thamani kutoka mbinguni" au "kwa mvua ya thamani kutoka mbinguni"
|
|
|
|
# umande
|
|
|
|
maji ambayo hujiunda juu ya majani na nyasi katika asubuhi za baridi.
|
|
|
|
# kina kilalacho chini
|
|
|
|
Hii ina maana ya maji chini ya ardhi.
|