sw_tn/deu/33/08.md

20 lines
537 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
# Thumimu yako na Urimu yako
Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani wakuu alibeba kifuani kwake na kutumia mara zingine kuamua mapenzi ya Mungu. Hapa "yako" ina maana ya Yahwe.
# ya mwaminifu wako
"mtakatifu wako" au "yule ambaye anatafuta kukufurahisha". Hii ina maana ya kabila la Lawi.
# Masa
Jina la "Masa" lina maana ya "kujaribu".
# Meriba
Jina la "Meriba" lina maana ya "bishana" au "ugomvi".