forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
537 B
Markdown
20 lines
537 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
|
||
|
|
||
|
# Thumimu yako na Urimu yako
|
||
|
|
||
|
Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani wakuu alibeba kifuani kwake na kutumia mara zingine kuamua mapenzi ya Mungu. Hapa "yako" ina maana ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# ya mwaminifu wako
|
||
|
|
||
|
"mtakatifu wako" au "yule ambaye anatafuta kukufurahisha". Hii ina maana ya kabila la Lawi.
|
||
|
|
||
|
# Masa
|
||
|
|
||
|
Jina la "Masa" lina maana ya "kujaribu".
|
||
|
|
||
|
# Meriba
|
||
|
|
||
|
Jina la "Meriba" lina maana ya "bishana" au "ugomvi".
|