forked from WA-Catalog/sw_tn
537 B
537 B
Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
Thumimu yako na Urimu yako
Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani wakuu alibeba kifuani kwake na kutumia mara zingine kuamua mapenzi ya Mungu. Hapa "yako" ina maana ya Yahwe.
ya mwaminifu wako
"mtakatifu wako" au "yule ambaye anatafuta kukufurahisha". Hii ina maana ya kabila la Lawi.
Masa
Jina la "Masa" lina maana ya "kujaribu".
Meriba
Jina la "Meriba" lina maana ya "bishana" au "ugomvi".