forked from WA-Catalog/sw_tn
653 B
653 B
Aliwaambia
"Musa alisema kwa watu wa Israeli"
Imarisheni akili yenu kwa
Hii ni lahaja. "Vuta nadhari kwa" au "Fikiri kuhusu"
nimewashuhudia kwenu
Maana zaweza kuwa 1) "nimeshuhudia kwako" ikimaanisha kwa kile Yahwe alichosema atafanya kwa Waisraeli iwapo hawatatii, au 2) "Nimekuamuru" inamaana ya kile Yahwe alichowaamuru kufanya.
watoto wenu
"watoto na uzao wenu"
hili
"sheria hii ni"
jambo dogo
Tamshi poza hizi zinaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "jambo muhimu sana"
kwa sababu ni uzima wako
"kwa sababu utaishi kama utaitii"
utarefusha siku zako
Siku ndefu ni sitiari ya maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu"