forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
653 B
Markdown
32 lines
653 B
Markdown
|
# Aliwaambia
|
||
|
|
||
|
"Musa alisema kwa watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Imarisheni akili yenu kwa
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "Vuta nadhari kwa" au "Fikiri kuhusu"
|
||
|
|
||
|
# nimewashuhudia kwenu
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "nimeshuhudia kwako" ikimaanisha kwa kile Yahwe alichosema atafanya kwa Waisraeli iwapo hawatatii, au 2) "Nimekuamuru" inamaana ya kile Yahwe alichowaamuru kufanya.
|
||
|
|
||
|
# watoto wenu
|
||
|
|
||
|
"watoto na uzao wenu"
|
||
|
|
||
|
# hili
|
||
|
|
||
|
"sheria hii ni"
|
||
|
|
||
|
# jambo dogo
|
||
|
|
||
|
Tamshi poza hizi zinaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "jambo muhimu sana"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ni uzima wako
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu utaishi kama utaitii"
|
||
|
|
||
|
# utarefusha siku zako
|
||
|
|
||
|
Siku ndefu ni sitiari ya maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu"
|