forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
288 B
Markdown
8 lines
288 B
Markdown
# kunena ...ananena
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) "alizungumza ... kuzungumza" au 2) "aliimba ... kuimba"
|
|
|
|
# masikioni mwa watu
|
|
|
|
Hapa "masikio" yanawakilisha watu wenyewe na yanasisitiza ya kwamba Musa alitaka kuhakikisha walisikia wimbo vizuri. "kwa watu ili waweze kuwa na uhakika wa kuusikia"
|