sw_tn/deu/32/44.md

288 B

kunena ...ananena

Maana zaweza kuwa 1) "alizungumza ... kuzungumza" au 2) "aliimba ... kuimba"

masikioni mwa watu

Hapa "masikio" yanawakilisha watu wenyewe na yanasisitiza ya kwamba Musa alitaka kuhakikisha walisikia wimbo vizuri. "kwa watu ili waweze kuwa na uhakika wa kuusikia"