forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
972 B
Markdown
28 lines
972 B
Markdown
# Maovu na taabu nyingi zitakapokuja juu ya watu hawa
|
|
|
|
Hapa maovu na taabu zinaelezwa kana kwamba ni binadamu na inweza kuwapata watu. "Watu hawa watapopitia maovu na taabu nyingi"
|
|
|
|
# wimbo huu utashuhudia mbele yao kama shahidi
|
|
|
|
Hii inazungumzia juu ya wimbo kana kwamba ilikuwa shahidi wa kibinadamu akishuhudia mahakamani dhidi ya Israeli.
|
|
|
|
# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "vizazi vyake havitasahau kushika kinyani mwao"
|
|
|
|
# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa kama chanya. "uzao wao watakumbuka kushika kinywani mwao"
|
|
|
|
# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao
|
|
|
|
Lahaja ya "kusahau kutoka kinywani mwao" ina maana ya kuacha kuzungumzia juu yake. "uzao wao wataacha kuzungumzia juu yake baina yao"
|
|
|
|
# mipango wanayotengeneza
|
|
|
|
Kile ambacho watu hupanga kufanya inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu halisia. "kile walichopanga kufanya"
|
|
|
|
# nchi niliyowaahidi
|
|
|
|
"nchi ambayo nilikuahidi ningewapatia wao"
|