forked from WA-Catalog/sw_tn
331 B
331 B
Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani
Haya ni majina ya wafalme.
walikuja dhidi yetu
Hapa "yetu" ina maana ya Musa na watu wa Israeli.
shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba watu walipaswa kutii amri za Mungu. "tii maneno yote ya agano hili"