forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
331 B
Markdown
12 lines
331 B
Markdown
|
# Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wafalme.
|
||
|
|
||
|
# walikuja dhidi yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "yetu" ina maana ya Musa na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba watu walipaswa kutii amri za Mungu. "tii maneno yote ya agano hili"
|