forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
585 B
Markdown
20 lines
585 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
|
|
|
# taifa
|
|
|
|
Hapa neno "taifa" umaanisha watu toka kwa taifa.
|
|
|
|
# daima utaonewa na kugandamizwa
|
|
|
|
Maneno "kuonewa" na "kugandamizwa" kimsingi umaanisha kitu kile kile. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "daima wataonewa na kugandamizwa" au " watawaonea daima"
|
|
|
|
# upatwe na wazimu kwa yale utakayoona yakitendeka
|
|
|
|
"kile unachoona kitakufanya kuwa wazimu"
|
|
|
|
# ambayo hutaweza kupona
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kwamba hakuna mmoja atakayeweza kuponya"
|