forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
587 B
Markdown
16 lines
587 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja.
|
|
|
|
# Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Utashuhudia mtu fulani anamuawa ng'ombe wako"
|
|
|
|
# punda wako atachukuliwa kwa nguvu mbele yako na hatarejeshwa kwako.
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mtu fulani atamchukua punda wako kwa nguvu na hatamrudisha"
|
|
|
|
# Kondoo wako watapewa maadui zako
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa kondoo zako maadui wako" au "Nitawaruhusu maadui zako kuchukua kondoo wako"
|