forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
581 B
Markdown
20 lines
581 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja
|
|
|
|
# magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe
|
|
|
|
Haya yote urejea kwa magonhwa ambayo husababisha watu kuwa wadhaifu na kufa. "magonjwa na kuwaka homa ambayo itawafanya kuwa dhaifu"
|
|
|
|
# kwa kiangazi
|
|
|
|
"kwa upungufu wa mvua"
|
|
|
|
# ukungu
|
|
|
|
ukungu ambao ukuwa kwenye mazao na kuyasababisha kuoza
|
|
|
|
# Hivi vitakufukuza
|
|
|
|
Musa anazungumza kwa mambo mabaya ambayo yangeweza kutokea kwa Waisraeli kama walikuwa watu au wanyama ambayo wangewakimbiza baada ya Waisraeli.
|