forked from WA-Catalog/sw_tn
423 B
423 B
Habari ya jumla
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja
laana, machafuko, kukemea
"maafa, hofu, na kukatisha tamaa"
kwa yote unayoweka mkono wako
Hii ni nahau. "kila kitu unachofanya"
mpaka uharibiwe
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka maadui zako wakuharibu wewe"
kuniacha mimi
Hapa "mimi" urejea kwa Yahwe
kushikamana
kubaki kwako"