sw_tn/deu/26/05.md

687 B

Taarifa ya Jumla:

Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.

Babu yangu alikuwa Mwaremi mzururaji

Huu ni mwanzo wa kauli ya kwamba mwanamume wa Kiisraeli anatakiwa kutengeneza anapoleta kikapu chake.

Mwaremi mzururaji

Hii ina maana ya Yakobo, ambaye alikuwa baba wa Waisraeli wote. Aliishi miaka mingi katika Aramu-Nahairamu, eneo lililopo Shamu.

na kukaa kule

"na kuishi maisha yake yote kule"

Kule akawa

Neno "akawa" ni lugha nyingine kwa ajili ya "uzao wa Yakobo"

kubwa, lenye nguvu

Maneno haya kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza ya kwamba Israeli ikawa taifa kubwa na lenye nguvu. "kubwa sana"